Ibraah – Nitachelewa (Official Music Video) SMS SKIZA 5702757 To 811

Rate this station

Ibraah – Nitachelewa (Official Music Video) SMS SKIZA 5702757 To 811

#Nitachelewa is a Swahil words from tanzanian language, in English Means he will be late. In this song Ibraah Tell us how much he has been hurted by his truly girlfriend and he doesn’t think if the pain will be recovered. this is why he called his song #Nitachelewa.

For Bookings & More
Email: [email protected]
Call: +255 718 712 420

Download and Stream on all Digital Platforms Link
https://ibraah.streamlink.to/Nitachelewa

Subscribe for more official content from Ibraah:
https://www.youtube.com/c/ibraah

Follow Ibraah
Instagram: https://www.instagram.com/ibraah_tz/
Twitter: https://twitter.com/ibraah_tz
Facebook: https://web.facebook.com/ibraah255

Producer: B Boy Beats
Director: Ivan

The official YouTube channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.

Lyrics
Aaah uuh ooh oh, ooh chinga
Ah ah aaaah ah
Aaah uuh ooh oh, ah ah ah

Yeah sijui hata nifanyeje
Sijui hata nifanye nini me
Maana hata siamini
Hmn no ho
Nilikula kiapo nikungoje
Ila bado haiingi akilini
Maana nishakula ya mini yawe
Eh kwa mashogazo ulichota mafumbo
Ngoja ngoja inaniumiza tumbo
Masikini umeshafata mkumbo, Yaani umesepa
Umeziacha zimejaza na rundoo
Na una ponda yangu fupi myundo
Eti unaning’ong’a, tajiri wa uvundo
Ndio chanzo umeniteka, aah

Na naimani nitajijengea
Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
Maana before nlitimia
Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
Labda yango nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
Simanzi imenielemea shilingi imepinduka

Kama usiporudi (Nitachelewaa)
Oh oh (kupona Nitachelewa)
Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa)
Hmm Hmm (kupona Nitachelewa)
Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa)
Yeah (kupona Nitachelewa)
Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa)
Oh no (kupona Nitachelewa)
Nitachelewa mama

Ah ah aah, hmmm yeah
oh oh oh, yeah

Mi najaribu kujisahaulisha ila moyo unagoma, unagoma
Hasa nikikumba zako methali na nahau
Japo unanionyesha dharau
Moyo hautaki komaa, kukoma
Mwingine sitaki penda na usidhani ka nitakusahau
Oh maana vita penzi lako ntapigana
Nikiamini utarudi we changama
Maana siko sawa ujue, mkuki kwa nguruwe
Kwa binadamu mchungu (Wanaogombana)
Siku zote ndio wananopatana
Ama unapenda mi ninavolalama
Sijui nilipokosa ujue
Na malengo ujue
Mimi najua wewe langu fungu

Na naimani nitajijengea
Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
Maana before nlitimia
Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
Labda yango nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
Simanzi imenielemea shilingi imepinduka
Kama usiporudi (Nitachelewaa)

Oh oh (kupona Nitachelewa)
Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa)
Hmm Hmm (kupona Nitachelewa)
Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa)
Yeah (kupona Nitachelewa)
Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa)
Oh no (kupona Nitachelewa)
Nitachelewa mama

Chinga, Konde music world wide
Yeah yeah yeah yeah yeah

#Ibraah #Nitachelewa #Kondegang

music, UC3tB6NSP16cC83ZcYJMajJQ, Ibraah

source

PHP Code Snippets Powered By : XYZScripts.com